The following are ten important delicious health benefits of eating more avocado
Would you believe that the avocado is considered by many nutritional experts to be a perfect food? It's considered a super food by many.
Surprise, it's not really a vegetable, it's a fruit. In areas south of the border, it's often called the alligator pear because of its shape and dark green roughly textured skin. The following are some of the benefits of eating avocado.
(1) Healthy brain: Dr. Daniel G. Amen, author of Change Your Brain, Change Your Life considers avocados as one of the top brain-healthy foods that can help prevent Alzheimer's Disease. The folate in avocado contributes to preventing the formation of brain tangles that are considered a factor for Alzheimer's.
Avocados combine brain healthy omega-3 fatty acids with natural vitamin E, which has been clinically proven to prevent Alzheimer's disease from progressing and even reversing it in its earliest stages.
Baada ya Mbunge wa Kigoma kask Mh Zitto Kabwe kutaja mshahara wa Rais na waziri mkuu sasa ametaja kiasi cha pesa ambacho kimetolewa na serikali kwa vyama vya siasa na hazijawahi kukaguliwa
Shilingi bilioni 67.7 zimelipwa na Serikali kwa vyama vya siasa katika kipindi cha miaka 4, 2009/2010 mpaka 2012/2013. Fedha hizi hazijakaguliwa kwa mujibu wa Sheria.
Mahesabu ya Vyama vya siasa nchini yanapaswa kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali kwa mujibu wa Sheria tangu mwaka 2009. Tangu mwaka huo Kamati ya PAC haijawahi kuona Taarifa ya CAG kuhusu ukaguzi wa vyama vya siasa.
Kamati imemwita Msajili wa vyama ili kufafanua ni kwa nini Vyama vya Siasa nchini havifuati sheria (vifungu vya sheria vimeambatanishwa hapa chini). Uvunjifu huu wa Sheria ni wa makusudi au wa kutokujua? Sheria inataka Mahesabu ya vyama yatangazwe kwa uwazi, tena kwa Government Notice. Umewahi kuona? Tarehe 15 Oktoba, 2013 Kamati ya PAC itatafuta majibu haya kutoka kwa Msajili na ikibidi vyama vyenyewe. Tunataka uwazi wa matumizi ya Fedha za Umma.Vyama vya siasa ndio vinaunda Serikali, uwazi unaanzia huko ili kuepuka fedha chafu kama za EPA kuingia kuvuruga uchaguzi.
Vyama vifuatavyo vimepokea Ruzuku ya jumla shilingi bilioni 67.7 tangu mwaka wa fedha 2009/2010;
CCM tshs 50.97 bilioni
CHADEMA tshs 9.2 bilioni
CUF tshs 6.29 bilioni
NCCR - M tshs 0.677 bilioni
UDP tshs 0.33 bilioni
TLP tshs 0.217 bilioni
APPT - M tshs 11 milioni
Mahesabu ya Vyama vya siasa nchini yanapaswa kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali kwa mujibu wa Sheria tangu mwaka 2009. Tangu mwaka huo Kamati ya PAC haijawahi kuona Taarifa ya CAG kuhusu ukaguzi wa vyama vya siasa.
Kamati imemwita Msajili wa vyama ili kufafanua ni kwa nini Vyama vya Siasa nchini havifuati sheria (vifungu vya sheria vimeambatanishwa hapa chini). Uvunjifu huu wa Sheria ni wa makusudi au wa kutokujua? Sheria inataka Mahesabu ya vyama yatangazwe kwa uwazi, tena kwa Government Notice. Umewahi kuona? Tarehe 15 Oktoba, 2013 Kamati ya PAC itatafuta majibu haya kutoka kwa Msajili na ikibidi vyama vyenyewe. Tunataka uwazi wa matumizi ya Fedha za Umma.Vyama vya siasa ndio vinaunda Serikali, uwazi unaanzia huko ili kuepuka fedha chafu kama za EPA kuingia kuvuruga uchaguzi.
Vyama vifuatavyo vimepokea Ruzuku ya jumla shilingi bilioni 67.7 tangu mwaka wa fedha 2009/2010;
CCM tshs 50.97 bilioni
CHADEMA tshs 9.2 bilioni
CUF tshs 6.29 bilioni
NCCR - M tshs 0.677 bilioni
UDP tshs 0.33 bilioni
TLP tshs 0.217 bilioni
APPT - M tshs 11 milioni
The following are the 12 Best Used Car Websites and Resources for Car Buying
The following list of the best used car websites is a great starting
place and will give you a lot of information on which to base your
decision when buying a car online.
- CarsDirect.com. CarsDirect.com is a good resource for research and used car listings. It offers information about financing as well as the latest rebates and incentives. Start your used car search here.
- NADA.com. The official website of the National Automotive Dealers Association. While it is mainly dealer cars, they also allow private party ads. You can search by make, model and body style as well as price. They also have research tools and a new car search. The site is easy to navigate and has a lot of information.
- Autobytel.com. Autobytel was one of the first automotive websites but has lost a bit of its luster in recent years. It is no longer the dominant website but still has a large selection of vehicles to choose from and a lot of research options.
- Cars.com. This site is owned by a conglomerate of various newspaper groups. It has all the standard features of top notch used car website as well as a lot of research and car reviews.
- CarSoup.com. Originally CarSoup served mainly the Minnesota market but has expanded to almost all 50 states, although in a lot of the states it serves mainly smaller cities. In addition to all the standard features it's quirky style and Carsoup radio make it a site worth visiting.
- Vehix.com. Vehix has a inventory of about 1 million cars. It started out as a research portal and still has a lot of research options.
- Local dealer groups. Often some of the best websites to check for a good used car are your local dealers' websites. All the cars you see will be local and they often offer financing options that may be specific to your market.
The following are the best top ten Antivirus for Windows 7.
We know that the security built in to Microsoft Windows 7 is better than it is in Windows XP and not as good as it is for Windows 8. We also know that Microsoft's motive to include increasingly better security in Windows operating systems is to provide a base-level of protection for naïve users who try to get by without installing third-party security software. If the topic of cyber security interests you, we invite you to read more articles about antivirus software. Most XP users will upgrade to Windows 7 rather than Windows 8. Let's focus on the best: Bitdefender, Kaspersky and Norton.
Bitdefender Antivirus Plus, Kaspersky Anti-Virus and Norton AntiVirus do what antivirus products are supposed to do: protect your computer from malware attacks.
Baada ya Mh Zitto Kabwe kuahidi kuwasilisha bungeni muswada binafsi juu ya kufuta sheria ya magazeti ya mwaka 1976 hatimaye kafanya hvyo. Hiki ndicho alichokiandika...
MUSWADA BINAFSI KUFUTA SHERIA YA MAGAZETI YA 1976
Napenda kuujulisha umma kwamba leo Ijumaa tarehe 4 Oktoba, 2013 nimewasilisha kwa Katibu wa Bunge muswada binafsi Bungeni kufuta Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976.
Changamoto iliyopo ni Sheria mbadala ya vyombo vya habari baada ya Sheria ya sasa kufutwa. Hata hivyo wadau wa habari kama Baraza la Habari Tanzania wameshafanyia kazi suala hili kwa muda mrefu sana na wana mawazo kuhusu sheria mbadala. Nimejulishwa kuwa muswada wa sheria mpya ya habari tayari upo. Kwa hiyo katika mchakato wa kujadili muswada binafsi wa kufuta sheria ya magazeti ya mwaka 1976 mabadiliko yanaweza kufanywa ili kutunga sheria mpya. Hatua ya kwanza ni kuifuta sheria hii kandamizi ambayo kiukweli tumechukua muda mrefu sana na baada ya madhara makubwa kufikia hatua ya muswada wa kuifuta.
Nimeamua kutumia njia za kawaida za kuwasilisha muswada na kuepuka njia ya dharura ili kujenga mazingira ya wadau wa habari kushiriki vya kutosha katika mabadiliko yanayotakiwa. Njia ya dharura ni ya haraka lakini huziba fursa za kupata maoni ya wadau ambao kimsingi ndio wenye sheria yenyewe haswa. Hivyo nimepeleka muswada leo ili uchapwe kwenye gazeti la Serikali (GN) kwa mujibu wa kanuni za Bunge, kisha usomwe kwa mara ya kwanza, uende kwa wadau kwa mjadala na marekebisho na kisha kusomwa kwa mara ya pili na kupitishwa na Bunge.
Ikumbukwe kuwa juhudi za kufuta sheria hii ni juhudi za wadau wa tasnia ya habari na ni juhudi walizofanya kwa muda mrefu sana. Mimi kama Mbunge ninawasilisha tu kwa sababu taratibu zetu za kuandika sheria zinataka ama Serikali, Kamati ya Bunge au Mbunge kuwasilisha muswada. Kwa muda mrefu tumewaangusha wana habari kwa kutosukuma vya kutosha mabadiliko waliyokuwa wanayapigania. Hata hivyo, kuna msemo wa kihindi 'asubuhi huanza pale unapoamka'. Sasa tuchukue hatua za kufuta sheria hii kandamizi.
Zitto Kabwe,Mb
Kigoma Kaskazini
Napenda kuujulisha umma kwamba leo Ijumaa tarehe 4 Oktoba, 2013 nimewasilisha kwa Katibu wa Bunge muswada binafsi Bungeni kufuta Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976.
Changamoto iliyopo ni Sheria mbadala ya vyombo vya habari baada ya Sheria ya sasa kufutwa. Hata hivyo wadau wa habari kama Baraza la Habari Tanzania wameshafanyia kazi suala hili kwa muda mrefu sana na wana mawazo kuhusu sheria mbadala. Nimejulishwa kuwa muswada wa sheria mpya ya habari tayari upo. Kwa hiyo katika mchakato wa kujadili muswada binafsi wa kufuta sheria ya magazeti ya mwaka 1976 mabadiliko yanaweza kufanywa ili kutunga sheria mpya. Hatua ya kwanza ni kuifuta sheria hii kandamizi ambayo kiukweli tumechukua muda mrefu sana na baada ya madhara makubwa kufikia hatua ya muswada wa kuifuta.
Nimeamua kutumia njia za kawaida za kuwasilisha muswada na kuepuka njia ya dharura ili kujenga mazingira ya wadau wa habari kushiriki vya kutosha katika mabadiliko yanayotakiwa. Njia ya dharura ni ya haraka lakini huziba fursa za kupata maoni ya wadau ambao kimsingi ndio wenye sheria yenyewe haswa. Hivyo nimepeleka muswada leo ili uchapwe kwenye gazeti la Serikali (GN) kwa mujibu wa kanuni za Bunge, kisha usomwe kwa mara ya kwanza, uende kwa wadau kwa mjadala na marekebisho na kisha kusomwa kwa mara ya pili na kupitishwa na Bunge.
Ikumbukwe kuwa juhudi za kufuta sheria hii ni juhudi za wadau wa tasnia ya habari na ni juhudi walizofanya kwa muda mrefu sana. Mimi kama Mbunge ninawasilisha tu kwa sababu taratibu zetu za kuandika sheria zinataka ama Serikali, Kamati ya Bunge au Mbunge kuwasilisha muswada. Kwa muda mrefu tumewaangusha wana habari kwa kutosukuma vya kutosha mabadiliko waliyokuwa wanayapigania. Hata hivyo, kuna msemo wa kihindi 'asubuhi huanza pale unapoamka'. Sasa tuchukue hatua za kufuta sheria hii kandamizi.
Zitto Kabwe,Mb
Kigoma Kaskazini
Subscribe to:
Posts (Atom)